thandiwe
Senior Member
- Oct 27, 2017
- 163
- 164
Habari
Nina shida sana ya haraka kukopeshwa laki tatu tu kwa mtu atakaeguswa na shida yangu..
Au kama kuna yeyote atakaeweza niunganisha na mtu/watu wanaokopesha kwa riba ndogo sana nitafurahi zaidi, kwani naweza dharirika mwenzenu.
Kwa sasa nipo mbeya mjini.
Nina shida sana ya haraka kukopeshwa laki tatu tu kwa mtu atakaeguswa na shida yangu..
Au kama kuna yeyote atakaeweza niunganisha na mtu/watu wanaokopesha kwa riba ndogo sana nitafurahi zaidi, kwani naweza dharirika mwenzenu.
Kwa sasa nipo mbeya mjini.