Athuman hamis Juma
New Member
- Mar 23, 2018
- 4
- 1
Naitwa athuman hamis Juma, 24, nime hitimu chuo kikuu cha Dar Es Salaam mwezi July 20,2018
Naomba msaada wa mtaji kiasi cha shilingi million 2 ambacho nitaanza kufanya biashara mwezi huu huu kama njia ya kuinua kipato na kufikia ndoto zangu
Naomba msaada kwa kuwa sina pa kushika nikaweza kupata kiasi hichi
Ni biashara ya viazi mviringo kutoka mkoa wa Mbeya ambapo nina experience na biashara hii kwa muda wa miezi 6 sasa
Nimekwama kwa kukosa mtaji maana nilistisha kulinda taaluma hivyo mtaji ukaisha
Kwa sasa nimepanga riverside, Ubungo
Naomba mtu yeyote mwenye kuguswa na safari yangu hii ya maisha anisaidie msaada huu hata kama kwa riba nafuu au akaniwezesha mtaji wakati huo nikimpa gawio la faida kwa Mwezi na mtaji wake ukiwa pale na mie nikaweza kujikimu
0743439783
Ndugu yangu , Nisaidie
Mwenyezi Mungu kaniwezesha kufikia hatua hii kwenu
Tafadhali, Nisaidie
Naomba msaada wa mtaji kiasi cha shilingi million 2 ambacho nitaanza kufanya biashara mwezi huu huu kama njia ya kuinua kipato na kufikia ndoto zangu
Naomba msaada kwa kuwa sina pa kushika nikaweza kupata kiasi hichi
Ni biashara ya viazi mviringo kutoka mkoa wa Mbeya ambapo nina experience na biashara hii kwa muda wa miezi 6 sasa
Nimekwama kwa kukosa mtaji maana nilistisha kulinda taaluma hivyo mtaji ukaisha
Kwa sasa nimepanga riverside, Ubungo
Naomba mtu yeyote mwenye kuguswa na safari yangu hii ya maisha anisaidie msaada huu hata kama kwa riba nafuu au akaniwezesha mtaji wakati huo nikimpa gawio la faida kwa Mwezi na mtaji wake ukiwa pale na mie nikaweza kujikimu
0743439783
Ndugu yangu , Nisaidie
Mwenyezi Mungu kaniwezesha kufikia hatua hii kwenu
Tafadhali, Nisaidie