Msaada wa mkopo kwa dhamana hii

Msaada wa mkopo kwa dhamana hii

DAVIES

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
516
Reaction score
90
Habarini za muda huu mi ni mjasiriamali nimefanikiwa kufungua duka la dawa tegeta, linafanya kazi kwa sasa limekaguliwa hatua ya kata(wilayani) na fomu ziko tayari kwenda manispaa kwaajili ya kupata kibali ikiwemo na tfd. Tin number ipo inafanya kazi na pia naendelea na kuomba leseni sasa, nina hitaji mtu au sehemu ambayo nitapata mkopo wa sh mil 2.5 au 3 kwa marejesho ya laki 3 hadi 3.5 kwa mwezi anipigie kabisa na riba yake iwepo humohumo. Dhamana tutaandikishana pia duka litadhamini na pia thamani nilizo nazo mie mpk nitakapo maliza kulipa kama kuna atakayehisi kuni save hapa ani pm nitaongea nae
Dhumuni la mkopo ni kumalizia marekebisho madogo pamoja na vibali uhakika wa kulipa upo.
 
Ndugu yangu mimi niko tayari ila sasa dhamana hio ndio shida nitafute kama kuna dhamana ingine tofauti
 
Hey no one jamani nina dhamana zingine siwezi zitaja hapa pls kama uko na interest
 
Back
Top Bottom