ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,766
- 3,583
Habar za humu wakuu...naomba msaada kati ya MBA in finance,human resource and marketing ni ipi iko pouwa kwenye ajira na pia mshiko.
mhusika ana advance diploma ya marketing miaka ya nyuma....hapa kati akapata ajira serikalin akasomea post graduate ya banking and finance .sasa anataka masters achukue ipi kati ya hizo?
mhusika ana advance diploma ya marketing miaka ya nyuma....hapa kati akapata ajira serikalin akasomea post graduate ya banking and finance .sasa anataka masters achukue ipi kati ya hizo?