Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Nimemaliza form six katika mchepuo wa PCB na nimepata two ya 12. Kama ifuatavyo CHEM C BIOS C na PHY S. Ndoto zangu ilikuwa kusoma course za afya hasa udaktar ila kwa matokeo haya na kwa maelezo ya guid book sina hizo sifa ingawa kuna zingine na ruhusiwa kwenda kusoma usipokuwa ya afya tu. Sasa nilikuwa naomba msaada wa mawazo katika hili
"KATI YA KWENDA KUSOMA COURSE ZINGINE ZA DEGREE NA KWENDA KUSOMA DIPLOMA YA MEDICINE KIPI NI BORA"
NAOMBENI USHAURI WENU WA KUBWA WANGU
ASANTENI SANA NA SAMAHANI KAMA NITAKUWA NIMEKOSEA KWENYE KUANDIKA
"KATI YA KWENDA KUSOMA COURSE ZINGINE ZA DEGREE NA KWENDA KUSOMA DIPLOMA YA MEDICINE KIPI NI BORA"
NAOMBENI USHAURI WENU WA KUBWA WANGU
ASANTENI SANA NA SAMAHANI KAMA NITAKUWA NIMEKOSEA KWENYE KUANDIKA