Mimi ni mwanafunz niliechaguliwa st joseph univesity lakin nimeshindwa kujiunga na wenzangu mwaka huu.
Kwasababu ya ukosefu wa ada sasa naomba mnisaidie kama sijaenda kuripot chuo je mwakan naweza nikapata fursa ya kuomba tena upya ikiwemo mikopo na vyuo?