Msaada wa mawazo kuhusu masomo

Msaada wa mawazo kuhusu masomo

mumanyi

Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
19
Reaction score
4
Mdogo wangu alifanya mtihani wa kwanza akawa na C mbili za geografy na history.Akaresit sasa amepata C moja ya History.Je anaweza kwenda advance private kwa kutumia mitihan miwili hyo? au anaweza kupata mahali pa kwenda? naomba mnielekeze nipate kumsaidia mdogo wangu
 
Back
Top Bottom