KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,449
- 5,541
AlooooooooSi unafungua hata dispensary yako
kumbe sikujua mkuu
AlooooooooSi unafungua hata dispensary yako
Una matokeo gani Form Four.ko nikasome clinical medicine ili niajiriwe???
Achana na mawazo ya ajira kijana naona bado dam u changa kwa upande wa afya nakushauri usome tu.duuh jamn ko hata nikisoma clinical medicine siambulii kitu kuhus ajira
physics C chemistry C bios C ..hay nd matokeo y scienceUna matokeo gani Form Four.
Kozi zote za Afya ada yake n kubwa sahaaila nd ada kubw aisee
aanh nmekupat 7b watu wananikatish tamaa kuhus business administrationGo healthy soma physiotherapy
lkn kam uweZkano upo nikasome cndyKozi zote za Afya ada yake n kubwa sahaa
Yaeh kama una uwezo kakomae Mungu atakusaidialkn kam uweZkano upo nikasome cndy