Msaada wa mahusiano plz

Msaada wa mahusiano plz

mmakondehuru

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
385
Reaction score
149
Nimekutana na msichana mdogo sana ni mwanafunzi mhitimu wa form 4,nikamuaproach kanikubalia tumefikia kuwa wapenzi kwa siku mbili tofauti,cha ajabu hajawahi kunipgia simu hata siku moja na tuna miezi 2 tangu tujuane. Je, kukaa kimya kwake kunaashiria nini?

Naomba kujuzwa plz.
 
kweli hata ulivyoandika inaonyesha utakuwa hujazidi form 4.........kwa umri huo ni wazazi wako tu ndowakukushauri hvyi jaribu kwashirikisha
 
we mkuu,si uko form 2 wew? miaka 32 umefikisha lin? mana siku moja nmekuona afu ulikuw n hyoo dgo.
 
Back
Top Bottom