My God!!! Mafuta ya nyonyo/mbarika/ Castor oil ni mzaha??? au kwa kua niliweka 'lol'Mbona mnanifanyia mzaha wakuu?
Na mafuta ya nazi pia hutaki.... basi tumia Cocoa butter au Shea Butter maana tumekupa mafuta ya asili waona mzaha.Duh,
Sorry mkuu,hiyo loh imenifanya nione kama mchango ni wa mzaha tu.My God!!! Mafuta ya nyonyo/mbarika/ Castor oil ni mzaha??? au kwa kua niliweka 'lol'
Haya basi Nisamehe mimi.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Unapatikana wapi...Hello, kama unahitaji mafuta sahihi kwa ngozi yako na yaliyotengenezwa kwa kutumia malighafi asilia kama maziwa na mbegu za maboga karibu tuwasiliane..
0672416294 au 0629273281
Sent using Jamii Forums mobile app