Msaada wa maelezo

Msaada wa maelezo

Samtin Peter

Member
Joined
Jan 21, 2015
Posts
22
Reaction score
7
Naomba kuuliza ndugu.. Hivi ukiwa unatumia WhatsApp number ya mtandao wa simu wa Tanzania labda tigo au voda alafu ukasafiri kwenda nchini Afrika kusini.. Je utakuwa na uwezo wa kutumia namba ileile katika WhatsApp ukiwa nchini Afrika kusini?
 
Naomba kuuliza ndugu.. Hivi ukiwa unatumia WhatsApp number ya mtandao wa simu wa Tanzania labda tigo au voda alafu ukasafiri kwenda nchini Afrika kusini.. Je utakuwa na uwezo wa kutumia namba ileile katika WhatsApp ukiwa nchini Afrika kusini?
Inawezekana bila shida. Kwa kifupi ni kama uwe unatumia whatsapp kwa namba ya tigo lakini kwenye simu yako umeweka line ya voda. Sooo hakuna shida. Ilimradi uwe na access ya internet tu. Wether ni WiFi au Mobile network
 
Naomba kuuliza ndugu.. Hivi ukiwa unatumia WhatsApp number ya mtandao wa simu wa Tanzania labda tigo au voda alafu ukasafiri kwenda nchini Afrika kusini.. Je utakuwa na uwezo wa kutumia namba ileile katika WhatsApp ukiwa nchini Afrika kusini?
 
Ndio ila laini ya bando utatumia ya huko Sauzi
 
I hope you don't reset your phone or uninstall whatsapp
 
Back
Top Bottom