Watalaamu wa Madini haya ni aina gani ya Madini
Haya madini hupatikana sehemu nyingi Tanzania. Yana umuhimu wakipekee kwenye ujenzi wa magorofa na sasa hivi yamepanda sana bei. Mende moja kutoka Lugoba si chini ya laki tano. Pia yanatumika kujengea barabara hasa sehemu za kishua au bandarini.
Njoo PM nikuoneshe group la watu wa madini. Unauliza chochote kuhusu madini na hata bei
kitu pekee ninachoweza kukwambia hayana thamani na yatakuwa yanauzwa kama kokoto tu kwa tons au kgsWatalaamu wa Madini haya ni aina gani ya Madini