JZHOELO
Senior Member
- Sep 20, 2011
- 196
- 360
Kama umenunua mpya online itakuwaje na apple ID ya owner mwingine? Sema ukweli umenunua ya wizi unajidai umenunua mpya. mpe mtoto achezee ishakuwa toy hiyo huwezi ifungua
unaongea pumba kweli... oooh samahani kumbe ni mgeni.... hii ni forum na sio saluni ya wadada,toa msaada huna kaa kimya,wanaojua watasema.... jipange mkuu unaongea na wengi sio watoto wa dada yako jiheshimu na kua
back to the topic
mkuu inafunguka sema itakucost a lot above 155k kuunlock mzigo, kutengeneza id sio ishu unaweza ila kumtoa mshkaji kwenye OS7.1 ni balaa.. hii system mpya ya apple ime aim kumtoza pesa mtu anayeuza au kuiba in that case kutoa system nzima kunahusika,kama huna haraka sana ihifadhi tafuta mtu mwenye tools za kueleweka sio tiny umbrella ka 4s na 4 hii kitu inahitaji heavier tools ambazo zinauzwa na hapo ndipo itakapo ku-cost mkuu.
ingia google fanya research nothing is locked especialy in softwares mkuu,
fanya research utafanikiwa.