Eliya Dawa JF-Expert Member Joined May 12, 2014 Posts 270 Reaction score 164 Feb 20, 2017 #1 Kama kichwa kinavyojieleza Naomba kujua namna ya kutengeneza app yoyote na nitapata faida gani nikitengeneza na njia za kufuata ili niitengeneze Kwa anaejua anisaidie wale walosoma deep ama anaujua juu ya hilo anisaidie tafadhali!
Kama kichwa kinavyojieleza Naomba kujua namna ya kutengeneza app yoyote na nitapata faida gani nikitengeneza na njia za kufuata ili niitengeneze Kwa anaejua anisaidie wale walosoma deep ama anaujua juu ya hilo anisaidie tafadhali!