Eliya Dawa
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 270
- 164
Kama kichwa kinavyojieleza
Naomba kujua namna ya kutengeneza app yoyote na nitapata faida gani nikitengeneza na njia za kufuata ili niitengeneze
Kwa anaejua anisaidie wale walosoma deep ama anaujua juu ya hilo anisaidie tafadhali!
Naomba kujua namna ya kutengeneza app yoyote na nitapata faida gani nikitengeneza na njia za kufuata ili niitengeneze
Kwa anaejua anisaidie wale walosoma deep ama anaujua juu ya hilo anisaidie tafadhali!
