Msaada wa kurudusha mafaili kwenye PC

Msaada wa kurudusha mafaili kwenye PC

Edwin171

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
456
Reaction score
568
Jamani laptop yangu nilimpa mtu kwa matumizi fulani ila kwa bahati mbaya akaenda kupiga window na kufuta mafaili yangu yote muhimu zikiwemo picha zaidi ya 3500,Audio zaidi ya 10000,video zaidi ya 1000 pia hivyo kama kuna mtaalamu anayeweza kurudisha hata kwa kulipia wakuu niko tayari
Natanguliza shukrani wakuu
 
Pole sana kuna software za bure kabisa lkn huwezi rudisha faili zote zilizopotea lkn kwa asilimia 60% utarejesha nakushauri utumie #I care data recovery # Au kama unaweza ulipie nikupe hii tools nzuri kbs lkn itakuomba key itabidi ufanye malipo nikutumie key text zake na uweze kuanza kurudisha zote kwa pamoja zitarudi link hii hapa kama utaweza fanya malipo MEGA , lakini kama unataka software za bure ujaribu kurejesha lkn sina imani nazo kivile anza na hii https://www.icare-recovery.com/down/icarefree.exe

ukiona imekushinda pakua hiyo link namba moja ndo uje ufanye malipo PM nitakupa keys
 
Pole sana kuna software za bure kabisa lkn huwezi rudisha faili zote zilizopotea lkn kwa asilimia 60% utarejesha nakushauri utumie #I care data recovery # Au kama unaweza ulipie nikupe hii tools nzuri kbs lkn itakuomba key itabidi ufanye malipo nikutumie key text zake na uweze kuanza kurudisha zote kwa pamoja zitarudi link hii hapa kama utaweza fanya malipo MEGA , lakini kama unataka software za bure ujaribu kurejesha lkn sina imani nazo kivile anza na hii https://www.icare-recovery.com/down/icarefree.exe

ukiona imekushinda pakua hiyo link namba moja ndo uje ufanye malipo PM nitakupa keys
Ahsante mkuu nitajaribu nikishindwa nitakupm, ahsante sana
 
Back
Top Bottom