Msaada wa kurudisha namba zilizopotea kwenye simu

Msaada wa kurudisha namba zilizopotea kwenye simu

Kichasi

Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
61
Reaction score
14
Naomba kwa yeyote anayejua application ambayo itarudisha namba zilizopotea kwenye simu anisaidie.Sababu za kupotea ni kwamba leo nilienda kwa fundi simu halafu akaiflash na namba zote zikafutika.
 
Back
Top Bottom