Msaada wa kupata Vifungashio

Msaada wa kupata Vifungashio

emt45

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2017
Posts
564
Reaction score
644
Habari za usiku ndugu , langu la leo nina omba msaada wa kupata vifungashio vya chupa kuanzia Lita 1 - 5 kwa ajili ya bizaa kama asali na mafuta
 
Habari za usiku ndugu , langu la leo nina omba msaada wa kupata vifungashio vya chupa kuanzia Lita 1 - 5 kwa ajili ya bizaa kama asali na mafuta
mbona vingi tu mkuu ? nenda sido
 
Nikijuwa vilipo nitatumia namna nyengine sasa ya navipataje
Kama upo dar... Kariakoo sokoni kule utapata vingi vya kila aina, kama upo Dodoma kuna duka nyuma ya jengo la ccm mkoa.
Pia kokote uliko nenda sido utapata
 
Ukihitaji label ya kifungashio usisite kuniona mkuu
 
Kwa wahitaji wa vifungashio vya plastic vilivyo bora karibuni.

Vipo vya ujazo tofauti kama inavyoonekana hapo chini na bei yake tumeambatanisha

1Kg = bei Tsh 550/= @ bag
Nusu kilo = bei Tsh 350/= @ bag
Robo kilo = bei Tsh 250/= bag
140g = bei Tsh 150/= bag

Free delivery kwa waliopo Dar es salaam na kwa waliopo mikoani tunatuma pia.

Contacts: 0718167671
0652361559
 

Attachments

  • unnamed.jpg
    unnamed.jpg
    11.3 KB · Views: 123
  • images (1).jpg
    images (1).jpg
    25.7 KB · Views: 111
  • 14-20.jpg
    14-20.jpg
    23.1 KB · Views: 111
Back
Top Bottom