Msaada wa kupata talaka kwa imani ya kiislam kwa mwanamke

miaka miwili na nusu bila kushiriki tendo la ndoa si ni TALAKA tayari? anaweza fanya mambo mengine hata kuolewa...
au unamaanisha unattaka msaada wa kugawana mali? waliyochuma?....
Unahakika hashiriki tendo? C ajabu na hasira alizonazo ndo zaidi jamaa c ameoa
 
Dada Jibu ni ndio. Uislam ni dini pekee iliyokamilika. Suala la ndoa lipo very very open ktk Uislam. Yaani taratibu zipo simple sana, Inshort mwambie afike ofisi za Bakwata zilizopo maeneo yao. Yaani ni suala jepesi mno hukuhitaji kulileta huku.
 
Alibadilishwa dini ili akidhi vigezo vya kuolewa na huyo mwanaume au ni suala lake binafsi? Any way sichangii lolote maana mdada mwenyewe hajitambui . Uache njia,na kweli na uzima uende mahali ambapo hapaonyeshi direct way to the heaven
 
Ni mahakama tu ndio inaweza toa taraka za ndoa haijalishi ni nfoa ya aina gani
 
Ila kidiini kuka zaidi ya miezi mitatu bila kuingiliana na mkeo nitalaka tosha, Sio wake tena aolewe tu kama amepata mwanaume wakumuoa
 
miaka miwili na nusu bila kushiriki tendo la ndoa si ni TALAKA tayari? anaweza fanya mambo mengine hata kuolewa...
au unamaanisha unattaka msaada wa kugawana mali? waliyochuma?....
Ni kweli kabisa miaka miwili bila kukutana wala kutoa huduma kwa mke (matumizi) basi hiyo ni talaka tosha unless kama anataka cheti akaringishe insta kama binti machozi
 
Dada Jibu ni ndio. Uislam ni dini pekee iliyokamilika. Suala la ndoa lipo very very open ktk Uislam. Yaani taratibu zipo simple sana, Inshort mwambie afike ofisi za Bakwata zilizopo maeneo yao. Yaani ni suala jepesi mno hukuhitaji kulileta huku.
(Uislam ni dini pekee iliyokamilika.)MH!! haya bana heri yenu mlio wakamilifu !!!
 
Alibadilishwa dini ili akidhi vigezo vya kuolewa na huyo mwanaume au ni suala lake binafsi? Any way sichangii lolote maana mdada mwenyewe hajitambui . Uache njia,na kweli na uzima uende mahali ambapo hapaonyeshi direct way to the heaven
Usiseme hajitambui alibadili din kwa matakwa yake,na mpk hapo sijasimulia kisa kamili kilichomtoa hapo nimeomba tuu muongozo tuu wa kupata taraka mambo hayaend hivyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…