Msaada wa kupata simu ya 'smart' ya CMDA.

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,703
1,724
Wakuu, mie ni mpenzi wa kupata huduma za TTCL. Tatizo nililonalo ni kupata simu ya CDMA kwani ni mwaka sasa tokea cm yangu kudondoka na kioo kupasuka, japo bado inafanya kazi lakini si katika ubora wake. Kampuni hii kwa sasa haina cm hizo. Nitapata wapi cm hizo?
 
mkuu nafikiri kuna HTC zna CDMA na GSM kwa pamoja kama uko Dar tembelea Sapna mtaa wa samora
 
mkuu nafikiri kuna HTC zna CDMA na GSM kwa pamoja kama uko Dar tembelea Sapna mtaa wa samora

Aksante sana mkuu. Niko nje ya Dar hata hivo nitazitafuta. Ubarikiwe sana.
 
  • Thanks
Reactions: aye
Back
Top Bottom