waya kama hizo huku Ughaibuni ni za kumwaga ikiwa bongo hakuna itabidi nije kufunguwa Duka langu huko Ahhhhhhhata hizo waya hakuna bongo? bongo kumechacha ile mbaya tutafika kweli jamani?Au ndio Siasa ya ujamaa hiyo inakataza vitu visiingie hapo bongo Ahhhhhhhhhhhhhhhhh Tupo nyuma sana.
waya kama hizo huku Ughaibuni ni za kumwaga ikiwa bongo hakuna itabidi nije kufunguwa Duka langu huko Ahhhhhhhata hizo waya hakuna bongo? bongo kumechacha ile mbaya tutafika kweli jamani?Au ndio Siasa ya ujamaa hiyo inakataza vitu visiingie hapo bongo Ahhhhhhhhhhhhhhhhh Tupo nyuma sana.
waya kama hizo huku Ughaibuni ni za kumwaga ikiwa bongo hakuna itabidi nije kufunguwa Duka langu huko Ahhhhhhhata hizo waya hakuna bongo? bongo kumechacha ile mbaya tutafika kweli jamani?Au ndio Siasa ya ujamaa hiyo inakataza vitu visiingie hapo bongo Ahhhhhhhhhhhhhhhhh Tupo nyuma sana.
Mkuu
Mtu anashusha bidhaa kulingana na mahitaji, hizo kebo wangapi wanaziitaji?...si bora ushushe kontena la MAUSI!..sio kuleta bidhaa tu kisa ughaibuni zipo