Nimecheki na nimezifuata lakini bado nimefail. Nilikuwa nafuatilia ile PROJECT YA ASTORIA lakini nayo imegomaInawezekana...ingia youtube uangalie tutorial..! Zipo nyingi sn
kwa hyo haiwezekani sasasasa hivi hizo simu unaweza unlock bootloader, kuna experiments nyingi sana watu wanazifanyia kama kuweka windows on arm (ambayo ni kama full pc), win rt, hizo android support unazosema na nyengine nyingi. sema bado zipo stage ndogo sana, itachukua muda mpaka ziwekwe kwenye mfumo wa mtu wa kawaida kuweza kufanya mwenyewe.
Loh. Nami naona kabisa hapa hiviImpossible mzee wala usisumbue kichwa.
Only Blackberry ndo ina emulator ya android ambapo unaweza install apps za BB au Android