Msaada wa kufunga Wi-Fi

Msaada wa kufunga Wi-Fi

chuxxe

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2019
Posts
601
Reaction score
370
Wakuu Nimejipanga na kiasi cha 300k niko sehem ambayo fibe bado hazijafika na ninaitaji kufunga wifi ya unlimited na yenye network tulivu Sana je ni company ipi inaweza nipa huduma hiyo
 
vodacom utalipia kwa mwezi laki 1 na mkataba mwaka 1 utumie usitumie unalipia laki 1 kila mwezi na usipolipia wanakata huduma na ukikaa miezi 2 mfn bila kulipia ndo ukaenda kulipa kwanza wanakata ile miezi miwili usiolipia then ndo yanafuata mengine
uzuri wake ni unlimited full speed
torrrent huwa napata mpk 2.5 Mbps na hapo ni mchana
 
vodacom utalipia kwa mwezi laki 1 na mkataba mwaka 1 utumie usitumie unalipia laki 1 kila mwezi na usipolipia wanakata huduma na ukikaa miezi 2 mfn bila kulipia ndo ukaenda kulipa kwanza wanakata ile miezi miwili usiolipia then ndo yanafuata mengine
uzuri wake ni unlimited full speed
torrrent huwa napata mpk 2.5 Mbps na hapo ni mchana
mkuu wanatumia tech gani fiber au izi microwave
 
mkuu wanatumia tech gani fiber au izi microwave
WI-FI tu mzee
awali tulikuwa tunatumia TTCL na fiber lkn uozo tu ndio tukahamia Voda
kwa BONGO internet angalia speed na bei ukiona havikuumizi kulingana na matumizi yako lipia tu 7bu 90% miundombinu ya fiber haijafika ni TTCL pekee ndo wamefikisha fiber sehemu kubwa ila nashindwa waelewa kwann wapo slow
 
vodacom utalipia kwa mwezi laki 1 na mkataba mwaka 1 utumie usitumie unalipia laki 1 kila mwezi na usipolipia wanakata huduma na ukikaa miezi 2 mfn bila kulipia ndo ukaenda kulipa kwanza wanakata ile miezi miwili usiolipia then ndo yanafuata mengine
uzuri wake ni unlimited full speed
torrrent huwa napata mpk 2.5 Mbps na hapo ni mchana
Unaweza ukalink hio huduma maelezo yake?
 
WI-FI tu mzee
awali tulikuwa tunatumia TTCL na fiber lkn uozo tu ndio tukahamia Voda
kwa BONGO internet angalia speed na bei ukiona havikuumizi kulingana na matumizi yako lipia tu 7bu 90% miundombinu ya fiber haijafika ni TTCL pekee ndo wamefikisha fiber sehemu kubwa ila nashindwa waelewa kwann wapo slow
Ttcl sio Adsl walioleta?
 
Unaweza ukalink hio huduma maelezo yake?
hiyo huduma mpk uwe na kampuni na uende na vielelezo vyote vya kampuni
ni kwa ajili ya kampuni sio mtu mmoja mmoja
unaena ofisini kwao au zamani walikuwa wanakuja kabisa wafanyakazi wao ofisini kukusajili na ROUTER unapewa bure
we unachotakiwa ulipie miezi miwili ya mwanzo yote cash
 
Ttcl sio Adsl walioleta?
itakuwa sijui ndio hiyo hiyo mzee mana ROUTER lao lilikuwa la ajabuajabu kishezi sio za kwaida kwanza haina sehemu ya laini tofauti na hii ya voda unaweza weka laini nyingine ila iwe VODA
likikorofisha mpk waje wao mara wakuambie sijui CABLE ilifanyaje huko juu
kwakweli nilikuwa siipendi linapoteza muda tu na speed kinyonga
hivyo sikuwa hata naifatilia nikifika ofisini nilikuwa naunga tu hotspot ya simu yangu
 
hiyo huduma mpk uwe na kampuni na uende na vielelezo vyote vya kampuni
ni kwa ajili ya kampuni sio mtu mmoja mmoja
unaena ofisini kwao au zamani walikuwa wanakuja kabisa wafanyakazi wao ofisini kukusajili na ROUTER unapewa bure
we unachotakiwa ulipie miezi miwili ya mwanzo yote cash
Haina tier? Maybe kiasi fulani kwa speed fulani?
 
Haina tier? Maybe kiasi fulani kwa speed fulani?
hapo sijajua mzee ngoja nitauliza ila ofisi tupo wengi computer zipo km 10 hivi na kila mtu anapata speed nzuri simu wote tumeunga hiyo ROUTER
live CCTV camera na tv 2 zimeungwa youtube tu
Youtube tunaangalia vizuri bila bufferr kwa youtube 720p au wakati mwingine mpk 1080p ila huwa na buffering kiasi
 
vodacom utalipia kwa mwezi laki 1 na mkataba mwaka 1 utumie usitumie unalipia laki 1 kila mwezi na usipolipia wanakata huduma na ukikaa miezi 2 mfn bila kulipia ndo ukaenda kulipa kwanza wanakata ile miezi miwili usiolipia then ndo yanafuata mengine
uzuri wake ni unlimited full speed
torrrent huwa napata mpk 2.5 Mbps na hapo ni mchana
Wanakupa router mzee au inakuwaje kuwaje
 
Wakuu Nimejipanga na kiasi cha 300k niko sehem ambayo fibe bado hazijafika na ninaitaji kufunga wifi ya unlimited na yenye network tulivu Sana je ni company ipi inaweza nipa huduma hiyo
Nadhani ingekuwa ni vyema kama ungetuambia ni eneo gani unaloishi ili tujue ni namna gani tunaweza kukushauri, maana si kila kampuni inayotoa huduma ya Internet inaweza kuwa na coverage katika eneo lako.
 
Nadhani ingekuwa ni vyema kama ungetuambia ni eneo gani unaloishi ili tujue ni namna gani tunaweza kukushauri, maana si kila kampuni inayotoa huduma ya Internet inaweza kuwa na coverage katika eneo lako.
Dar es salaam kigamboni mkuu
 
vodacom utalipia kwa mwezi laki 1 na mkataba mwaka 1 utumie usitumie unalipia laki 1 kila mwezi na usipolipia wanakata huduma na ukikaa miezi 2 mfn bila kulipia ndo ukaenda kulipa kwanza wanakata ile miezi miwili usiolipia then ndo yanafuata mengine
uzuri wake ni unlimited full speed
torrrent huwa napata mpk 2.5 Mbps na hapo ni mchana
Mkuu kuna vifaa vyovyote mtu anatakiwa kununua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar es salaam kigamboni mkuu
Kama upo Kigamboni, basi nakushauri utumie Supa Kasi Internet ya Vodacom ambayo ina coverage nzuri kwenye eneo lote la kigamboni. Ukijiunga na Supa Kasi Internet ya Vodacom, unaweza kupata Unlimited Internet yenye kasi ya 10Mbps kwa TZS 115,000 kwa mwezi, au 20Mbps kwa TZS 165,000 mwezi.

Faida ya kujiunga na hii Supa Kasi Internet ya Vodacom, ni kwamba ukilipia hicho kifurushi chako cha 10Mbps au 20Mbps, wao watakufungia Internet bure na watakupa kifaa cha WiFi bure.

Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nao kuwaandikia barua pepe business@vodacom.co.tz
 
Kama upo Kigamboni, basi nakushauri utumie Supa Kasi Internet ya Vodacom ambayo ina coverage nzuri kwenye eneo lote la kigamboni. Ukijiunga na Supa Kasi Internet ya Vodacom, unaweza kupata Unlimited Internet yenye kasi ya 10Mbps kwa TZS 115,000 kwa mwezi, au 20Mbps kwa TZS 165,000 mwezi.

Faida ya kujiunga na hii Supa Kasi Internet ya Vodacom, ni kwamba ukilipia hicho kifurushi chako cha 10Mbps au 20Mbps, wao watakufungia Internet bure na watakupa kifaa cha WiFi bure.

Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nao kuwaandikia barua pepe business@vodacom.co.tz
Ukilipia hiyo pesa wanakuja kukufunguia bule?
 
Kama upo Kigamboni, basi nakushauri utumie Supa Kasi Internet ya Vodacom ambayo ina coverage nzuri kwenye eneo lote la kigamboni. Ukijiunga na Supa Kasi Internet ya Vodacom, unaweza kupata Unlimited Internet yenye kasi ya 10Mbps kwa TZS 115,000 kwa mwezi, au 20Mbps kwa TZS 165,000 mwezi.

Faida ya kujiunga na hii Supa Kasi Internet ya Vodacom, ni kwamba ukilipia hicho kifurushi chako cha 10Mbps au 20Mbps, wao watakufungia Internet bure na watakupa kifaa cha WiFi bure.

Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana nao kuwaandikia barua pepe business@vodacom.co.tz
Na vipi kuhusu huduma ya internet Yao haisumbui
 
Back
Top Bottom