Nafanya kazi shirika fulani, lakini tatizo limekuja sehemu moja mimi na hawa NSSF,
Mkataba wangu umeisha tarehe 30/2/2016, bahati mbaya niliondoka kwenda kwenda nyumban bado barua za kusimamisha kazi na barua za kuchukulia mafao yangu zilikua hazijakamilika, na kwa kuwa nilikua na haraka ikabidi niziache kwa dhumuni kuwa nitarudi nitazikuta, mkataba uliisha lakini nilisaini mwingine kabla sijaondoka, nipo nyumban bado mshahara ulikua unaingia kama kawaida,
Tatizo limekuja jana nimeenda kutoa wananiambia kuwa siwezi kutoa pesa hiyo kwa kuwa bado mafao yanaingia kama kawaida, na baada ya kuchangia bado kuna pesa tayari imeingia ambayo ni ya mwezi wa 3 na 4, hivyo inaonesha bado nipo kwenye system kama kawaida, nikawaambia lakini mkumbuke ninayo barua yangu ya mwezi huo kukoma, na pia hiyo pesa mnayosema imeingia mimi sina mpango nayo bali naitaji pale nilipoishia basi, wamegoma.
Naombeni msaada kuhusu hili, siruhusiwi kuchukua pesa wakati mafao yameingia mengine?
Pili nina barua ya office pia na viambatanisho vyote, naomba msaada kuhusu hili
Mkataba wangu umeisha tarehe 30/2/2016, bahati mbaya niliondoka kwenda kwenda nyumban bado barua za kusimamisha kazi na barua za kuchukulia mafao yangu zilikua hazijakamilika, na kwa kuwa nilikua na haraka ikabidi niziache kwa dhumuni kuwa nitarudi nitazikuta, mkataba uliisha lakini nilisaini mwingine kabla sijaondoka, nipo nyumban bado mshahara ulikua unaingia kama kawaida,
Tatizo limekuja jana nimeenda kutoa wananiambia kuwa siwezi kutoa pesa hiyo kwa kuwa bado mafao yanaingia kama kawaida, na baada ya kuchangia bado kuna pesa tayari imeingia ambayo ni ya mwezi wa 3 na 4, hivyo inaonesha bado nipo kwenye system kama kawaida, nikawaambia lakini mkumbuke ninayo barua yangu ya mwezi huo kukoma, na pia hiyo pesa mnayosema imeingia mimi sina mpango nayo bali naitaji pale nilipoishia basi, wamegoma.
Naombeni msaada kuhusu hili, siruhusiwi kuchukua pesa wakati mafao yameingia mengine?
Pili nina barua ya office pia na viambatanisho vyote, naomba msaada kuhusu hili