Habar wakuu,mm n mwalimu niliyeajiriwa mwaka huu (may 2015), lakn kabla ya ajira kutoka nilikua tayar nimefanya maomb mbalmbal ya kaz katka vyuo vkuu mbalmbal, sasa juz nmebahatka kuitwa kazni katka chuo mojawapo cha serkal as a tutorial assistant ,naomben ushaur wakuu hv mkurugenz(mwajr wa sasa) atanielewa kwel ? au nianzie wapi hapo?