AG.6851
Member
- Jul 31, 2013
- 97
- 87
Habari wana JF
Miongoni mwa mambo yanayotukosesha ajira baadhi yetu ni kushindwa kuandika CV. Sasa basi hebu mwenye uwezo huo wa kuiandika ikiwa na vitu vyote muhimu aweke humu tufaidike sote.
Itakuwa faraja Sana kama utatoa msaada wako ili kuwakwamua walioshindwa.
Aidha kama unayo Unaweza pia kunitumia kwa WhatsApp Namba 0763769886.
Ahsante Sana!!!

Nakupenda Sana Mama Yangu
Miongoni mwa mambo yanayotukosesha ajira baadhi yetu ni kushindwa kuandika CV. Sasa basi hebu mwenye uwezo huo wa kuiandika ikiwa na vitu vyote muhimu aweke humu tufaidike sote.
Itakuwa faraja Sana kama utatoa msaada wako ili kuwakwamua walioshindwa.
Aidha kama unayo Unaweza pia kunitumia kwa WhatsApp Namba 0763769886.
Ahsante Sana!!!

Nakupenda Sana Mama Yangu