Msaada wa kuagiza gari online

Mm nngekushauri nunua showroom za mjini tu hapa nna uhakika gari zipo nyingi nzuri na kwa pesa yako mkuu
 
Mkuu kwa hyo pesa hebu nielekeze nitapata showroom gani noah
 

Ndugu yangu nina imani mimi sio muongo kama ulivyoniita. Nina uhakika na nilichokiandika, exemption kwa wafanyakazi wa serikali is no longer applicable kwenye imported cars regardless of car cc capacity. Kama unataka huyo jamaa aingie mkenge, basi hafuate huo ushauri wako uliopitwa na wakati.

Tiba
 

unabishana na Mimi? Mi nafahamu kwa sababu ndio nafanyia kazi hayo mambo sio kwa kusikia kama wewe, narudia tena usidanganye kitu ambacho huna ujuzi nacho
 
unabishana na Mimi? Mi nafahamu kwa sababu ndio nafanyia kazi hayo mambo sio kwa kusikia kama wewe, narudia tena usidanganye kitu ambacho huna ujuzi nacho

Hata mimi nafahamu kuwa madaktari na walimu wanapewa msamaha wa hizo kodi wakiagiza magari toka nje
 
Mengi ushaambiwa

FOB = ni bei ya gari kule japani

CIF = bei ya gari japani + usafiri kutoka japani mpaka hapa (freight) + insurance

me nipo katika kampuni wa japanees hapa dar kama utapenda ni pm nitakusaidia zaidi!!
Mkuu, mimi nataka kununua TOYOACE Tani moja na nusu, manual, mwaka 2005, hebu nipe makisio hadi niipate na kama nyie mnayo, tafadhali nijuishe.
 

Huu ndio ukweli..gari liwe la matumizi binafsi sio biashara(pick up ,Hiace etc)japokuwa process ya punguzo ni ndefu na pesa unayopunguziwa ni ndogo
 
unabishana na Mimi? Mi nafahamu kwa sababu ndio nafanyia kazi hayo mambo sio kwa kusikia kama wewe, narudia tena usidanganye kitu ambacho huna ujuzi nacho

Narudia tena, usimdanganye huyo mtu, hiyo kitu iliishafutwa. Najua kuna members wengine wanajua, ngoja tusubiri mchango wao, lakini hiyo kitu haipo tena. Hatuna haja ya kuendelea kubishana mimi na wewe.

Tiba
 
Mkuu shark kweli una mauzoefu umenifumbua macho ngoja nikomae hapahapa bongo kula like hiyo:thumbdown::thumbdown::thumbdown:
Duh,
Thumndown tena??
 

Natumaini umeshapata pa kuanzia angalau. Lakini kama bado tunaweza kuwasiliana nikuunganishe na jamaa yuko huko Japan na hizi ndizo shughuli zake hasa unaweza kupata Noah ya mwaka 1999 hadi 2000 kwa bei ya dola 3,500 (CIF). Na hii itakuwa ni gari ya ukweli, yenye kilometa halisi (yaani hapa namaanisha wengine hawa huwa wananunua gari ambazo zimetembea kilometa kibao kwa bei chee mnadani huko Japan, na kuzirudisha nyuma wewe hutajua), ila yeye anainunua gari mnadani kwa ajili yako kulingana na bei uliyo nayo. Ni mbongo mwenzetu!
Nokla, Tiba suala la msamaha wa kodi kwa watumishi wa serikali, lipo ila kuanzia mwaka huu wa fedha iko namna hii ununue gari ambayo haijafika miaka 8 tangu kutengenezwa, na iwe na engine isiyozidi cc 2000!

Kwa Noah niliyokutajia ni model za zamani (siyo Noah/VOX). Ukiagiza unapata gari yako ndani ya kipindi kisichozidi miezi miwili utakuwa ukoa barabarani.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…