Ndio...ni free, ila unabidi uwe makini kipindi unaidownload kwenye hizi website maana utakutana na nyingi ambazo ni feki ila linatumia hilo jina.
Ukiona baada ya kudownload alafu unainstall kwenye pc yako alafu ukakuta inafanya download nyingine ujue kabisa sio hii.