msaada wa ku root smu yangu

msaada wa ku root smu yangu

bwaxs

Senior Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
102
Reaction score
32
kwa wale wataalamu wa kuroot smu natumia samsung galaxy j7 nilkua naomba mnjuze ntumie app gan ya kuroot na procedure za kufuata wakuu
 
Ila lazima uwe unajua ku flash simu kama hujui inaweza kuzima simu na kutomalizia kuwaka mpaka iflashiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom