LARRYBWAY
Member
- Feb 21, 2012
- 82
- 5
Habari zenu wanajukwaa wenzangu, shida yangu ni moja, nimeletewa simu aina Tecno Y4 ambayo ime-corrupt software, sasa lengo langu ni kutaka ku-factory reset.
Hatua1. niliyofanya niku-bofya Volume Up pamoja na power button then ikaniambie mode ya kwenda, ambapo kulikuwa na Normal, Recover na Fast Mode, mm nikachoose Recover then ikanipeleka kwenye option ya Wipe Cache/Factory Reset,.
Baada ya kuchagua hapo ikanipeleka kwenye choose Yes, nilipobofya ikawa inakataa na kuniletea kile ki-robot cha android kikiwa vifungo wazi na keyboard huku alama nyekundu ikiwa imewaka ndani yake.
Msaada waungwana kwani ndio nimeishia hapo.
Hatua1. niliyofanya niku-bofya Volume Up pamoja na power button then ikaniambie mode ya kwenda, ambapo kulikuwa na Normal, Recover na Fast Mode, mm nikachoose Recover then ikanipeleka kwenye option ya Wipe Cache/Factory Reset,.
Baada ya kuchagua hapo ikanipeleka kwenye choose Yes, nilipobofya ikawa inakataa na kuniletea kile ki-robot cha android kikiwa vifungo wazi na keyboard huku alama nyekundu ikiwa imewaka ndani yake.
Msaada waungwana kwani ndio nimeishia hapo.