mkwanguaji
Member
- Nov 7, 2017
- 7
- 5
Anataka ku copy cpntent na kupaste kwake kwaajili ya ku monetizewew zanini hizo Mkuu
Ivi bado wanataka blog zisajiliwe kwa kulipia ada?? Au ni baadhi ya blogs??Anataka ku copy cpntent na kupaste kwake kwaajili ya ku monetize
Kama ni blog unayopost mara kwa mara wanataka isajiliwe haijalishi ni content ganiIvi bado wanataka blog zisajiliwe kwa kulipia ada?? Au ni baadhi ya blogs??
Kama ni blog unayopost mara kwa mara wanataka isajiliwe haijalishi ni content gani
Mambo vipi wana Jamvi?
nina shida moja naomba mnisaidie.
ninatafuta website za kingereza ambazo hazijawa monetized na adsense.
naomba anaezijua au anaeijua anisadie tafadhali
Yangu nimesajili mkuu, hatua yakwanza unasajili kampuni BRELA, unalipa kodi TRA, unalipa application fee TCRA inakaguliwa wanakupa go on ndo unalipia leseni 1M baada ya siku 3-4 za kazi wanakuruhusu. Kwasasa kuna watu walienda kukata rufaa so TCRA wamekaa kimya ila wakishinda wataliamsha na itawaathiri wengi.Website /blogs za makampuni na zakibiashara hazisajiliwi.
Yangu nimesajili mkuu, hatua yakwanza unasajili kampuni BRELA, unalipa kodi TRA, unalipa application fee TCRA inakaguliwa wanakupa go on ndo unalipia leseni 1M baada ya siku 3-4 za kazi wanakuruhusu. Kwasasa kuna watu walienda kukata rufaa so TCRA wamekaa kimya ila wakishinda wataliamsha na itawaathiri wengi.
Kwenye dashboard yangu baada ya usajili inaonekana hivi
Ok mkuu ila afisa 1 wa TCRA alinipa maelekezo hayo na ndivyo yanavyosomeka ktk kanuni kwamba kama una update frequently ni lazima usajili.Sawa mkuu ila kwa ninavyo elewa mimi kama website ni ya kampuni huna haja ya kusajili TCRA.
na kuhusu rufaa imekatwa na kina malunde, juu ya uwongozi wa TBS na tunaombea ushindi juu ya hilo.
Na hata kwa upande wangu ndo iko hivyo.
Ok mkuu ila afisa 1 wa TCRA alinipa maelekezo hayo na ndivyo yanavyosomeka ktk kanuni kwamba kama una update frequently ni lazima usajili.