Mbassa jr
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,234
- 3,172
Gari ni Verossa..
Ni automatic transimission, tatizo lake ni kwamba naweza nikatembelea vizuri tuu ila ikifika sehemu ya kupunguza spidi labda kwenye tuta au korongo, nikishataka kukanyaga tena mafuta unakuta RPM inafika mpka 3 na gari inakuwa haisogei bali inakuwa inaunguruma tuu afu ghafla inashtuka na RPM inashuka mpaka normal ndo inaanza ku-gain spidi upya.
Je, tatizo laweza kuwa ni nin?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni automatic transimission, tatizo lake ni kwamba naweza nikatembelea vizuri tuu ila ikifika sehemu ya kupunguza spidi labda kwenye tuta au korongo, nikishataka kukanyaga tena mafuta unakuta RPM inafika mpka 3 na gari inakuwa haisogei bali inakuwa inaunguruma tuu afu ghafla inashtuka na RPM inashuka mpaka normal ndo inaanza ku-gain spidi upya.
Je, tatizo laweza kuwa ni nin?
Sent using Jamii Forums mobile app