Anko Elly
Member
- Feb 22, 2017
- 69
- 70
Hivi Kama una ndugu, jamaa au rafiki ambaye anafanya biashara ya kuuza bidhaa.
Lakini ghafla anakuita anakwambia kwamba ana biashara Kubwa ambayo itahitaji kupitia kwenye akaunti ya benki.
Kwa kuwa mnafahamiana, ukaona isiwe tabu, hapo biashara umedokezewa kdg na percentage ushaambiwa utakula ngapi.
Lakini katika hali ya sintofahamu unakuja kutaharuki ile biashara imeingia dosari, wakati huo pesa imeshatoka na hela ameshachukua na changu nimeshapewa.
Kumbuka wakati wa hiyo biashara inafanyika alikuwepo mwanasheria pamoja na sisi wahusika, ambao wote kwa pmj tuliamwaga sahini zetu.
Linapokuja suala la kesi hapo nani mwenye makosa? Je, mwenye akaunti anauwezo wa kuingizwa hatiani?
Msaada wenu tafadhali
Lakini ghafla anakuita anakwambia kwamba ana biashara Kubwa ambayo itahitaji kupitia kwenye akaunti ya benki.
Kwa kuwa mnafahamiana, ukaona isiwe tabu, hapo biashara umedokezewa kdg na percentage ushaambiwa utakula ngapi.
Lakini katika hali ya sintofahamu unakuja kutaharuki ile biashara imeingia dosari, wakati huo pesa imeshatoka na hela ameshachukua na changu nimeshapewa.
Kumbuka wakati wa hiyo biashara inafanyika alikuwepo mwanasheria pamoja na sisi wahusika, ambao wote kwa pmj tuliamwaga sahini zetu.
Linapokuja suala la kesi hapo nani mwenye makosa? Je, mwenye akaunti anauwezo wa kuingizwa hatiani?
Msaada wenu tafadhali