antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 448
- 871
Wakuu Kuna kipindi nilipatwa na msiba ambapo ilinibidi nichelewe kusafiri hivyo nilivyofika stend agent kasema gari za kwenda mbeya zipo nyingi hivo nisijari , akaniomba nikate tiketi ya moja kwa moja NAMI nikakata tiketi kwa 65000 mpaka mbeya.
Ilipofika saa tano nikapanda gari kumbe maelezo aliyoachiwa konda wa gari ile ni kunifikisha dodoma na sio mbeya, nilipofika singida yule konda kanifaulisha gari inayoenda dodoma na nilipofika dodoma kupiga simu kwa agent aliyopo kahama hapokei simu , piga simu sana lakini wapi
Nikaamua kuchukua gari nyingine na kulipa nauli upya ya dodoma to mbeya
Baada ya wiki nikarudi Tena kahama nikamfuata yule jamaa kiungwana tu kuwa siku zile nimekupigia simu hukupokea ikabidi nilipe nauli upya so inabidi unirudishie ile pesa yangu , lakini mpaka Leo ananizungusha
Na saivi hapokei simu zangu hii inakaaje maana niliona mdau mwingine naye analalamika kuwa naye alifanyiwa hivihivi na stendi hiohio ya kahama
Ilipofika saa tano nikapanda gari kumbe maelezo aliyoachiwa konda wa gari ile ni kunifikisha dodoma na sio mbeya, nilipofika singida yule konda kanifaulisha gari inayoenda dodoma na nilipofika dodoma kupiga simu kwa agent aliyopo kahama hapokei simu , piga simu sana lakini wapi
Nikaamua kuchukua gari nyingine na kulipa nauli upya ya dodoma to mbeya
Baada ya wiki nikarudi Tena kahama nikamfuata yule jamaa kiungwana tu kuwa siku zile nimekupigia simu hukupokea ikabidi nilipe nauli upya so inabidi unirudishie ile pesa yangu , lakini mpaka Leo ananizungusha
Na saivi hapokei simu zangu hii inakaaje maana niliona mdau mwingine naye analalamika kuwa naye alifanyiwa hivihivi na stendi hiohio ya kahama