Msaada wa kisaikolojia

Oya wazee mnanipasua kichwa bhana.

Mtoa maada kaanza na VVU huku mbele siasa
Mara midege ya super 61 ya Hollywood huko.
Mara barakoa nini? Hii maana yake nini?
 
Oya wazee mnanipasua kichwa bhana.

Mtoa maada kaanza na VVU huku mbele siasa
Mara midege ya super 61 ya Hollywood huko.
Mara barakoa nini? Hii maana yake nini?
Mafinyofinyo
 
Mku hbr.
Mimi nimeangaikia hii huduma nimekosa kwani mara ya mwisho nilienda Osha kuulizia kama wanatoa hii huduma nikaambiwa hawatoi.
 
Mkuu asante kwakujitolea... hata andiko lako ni msaada Mkubwa kwa Bush kama ataliona Tuu!
 
Anafanya tuamini kwamba Mungu wa kanisani na msikitini ni chaguo la mwisho baada ya kuhangaika hapa na pale.

Kwa kweli, viongozi wa dini wanajukumu kubwa la kutenganisha kati ya majukum ya Mungu kiroho na kimwili.

Wachore mstari kati ya masuala ya kiroho na kimwili.

Uongo wa kusema kwamba Mungu anaponya kila aina ya maradhi huku wao wamevaa barakoa kujikinga na Korona.

Hii ina ashiria kwamba hawana imana kuwa Mungu hawezi kuwakinga kwa maombi.

Kwa ufupi Bush wako anawatupia lawama viongozi wa dini kwanini wahubiri vitu wasivyoviishi.


Yule kikongwe katika taifa lile, aliweka wazi tu... Kwamba Mungu ana mambo mengi ya kufanya. Hawezi kudeal na uzembe wako wa kutofuata maelekezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…