Pure Marxist
New Member
- Nov 10, 2013
- 3
- 0
Kuna rafiki yangu ana miaka 28 sasa, na yuko mwaka wa pili katika chuo flan hapa nchn, katka maisha yake hajawah kukutana na mschana ambaye anawez kumuoa, kwa sasa ana miez 6 yuko na mahusiano na mschana flan yuko form 3, ana miaka 20,mschana mwenyewe yuko conscious na masomo na yuko vzr ingawa anampenda sana jamaa! Tatzo ni moja jamaa anataka kuoa baada ya miaka 3, ambapo mschana atakuwa bado anasoma japo analiunga mkono, Je, kuna madhara yoyote atayapata jamaa kama akifunga ndoa na bnt amabaye bado yuko shule(chuo), wakati uzoef unaonesha mwisho wake kuwa mbaya(kusalitiwa)?, au amstishie karbu f4, na amuoe kabla hajamalza masomo?, AU Alazimishe kumuacha ilihal anampenda? Maana anampenda kweli na ana kila sifa japo bado yuko mbali kimasomo! Anaombeni ushauri wa kina maana yuko much more 'CONFUSED'