Msaada wa kazi

Msaada wa kazi

deprettyG

Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
42
Reaction score
2
Habari wana JF

Mimi ni msichana, umri miaka 22, elimu kidato cha nne pia nimepitia mafnzo ya customer care and service ngazi ya cheti.

Ninaomba msaada wa kupata ajira kwa mujibu wa taaluma yangu lakini naweza pia kufanya kazi hata kwenye supermarket, ofisini kama msaidizi wa ofisi, petrol station na kwenye maduka mbalimbali.

Ninaishi Tabata.

Natanguliza shukrani!
 
mdogo wangu pole sana ucijali tu utapata, ningekuwa na uwezo ninge ku.........
 
Pitia pitia mitandaoni dada, kuna fursa nyingi tu hasa za position yako. Ila muombe sana Mungu pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom