Msaada wa jinsi ya kuunga line ya airtel kwenye internet

wakomong'we

Member
Oct 28, 2011
30
2
Wakuu natanguliza shukurani kwenu. Nina nokia asha 200 na ninatumia line ya airtel nimeshindwa kuunganisha na internet.Ingawa kwa line ya voda unaandika neno Wap nokia Asha 200 unatuma kwenda 15300.Naomba kujua kwa line ya airtel tunafanyaje? Naamini katika JF
 
kwa uzoefu wangu mdogo, nowadays huhitaji kujiunga na internet kwa mtindo huo, maana simu nyingi zimeimarishwa teknolojia kwamba ukitaka kujiunga unatuma namba kulingana na kampuni,kisha unanunua bundle vile unataka. Mfano kwa Voda ni *149*01#, na Airtel ni *154*44# (kama sijakosea), ama kwa Airtel hiyohiyo, tuna msg INTERNET kwenda 15444 ili kupata 400MB kwa mwezi mmoja
 
kwa uzoefu wangu mdogo, nowadays huhitaji kujiunga na internet kwa mtindo huo, maana simu nyingi zimeimarishwa teknolojia kwamba ukitaka kujiunga unatuma namba kulingana na kampuni,kisha unanunua bundle vile unataka. Mfano kwa Voda ni *149*01#, na Airtel ni *154*44# (kama sijakosea), ama kwa Airtel hiyohiyo, tuna msg INTERNET kwenda 15444 ili kupata 400MB kwa mwezi mmoja

Hapo unajiunganisha na huduma ya internet au unanunua bundle au kiasi utakachotumia kwenye internet?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom