Msaada wa jinsi ya kupata atn kwenye startimes

Msaada wa jinsi ya kupata atn kwenye startimes

Dennis eudes

Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
24
Reaction score
8
Kuna channel za ziada kadhaa zinaonyeshwa kwenye startimes, msaada basi wa kuzipata jamani
 
mi mwenyewe ni ajenti wa startimes, kuna maswali nitamhoji kabla sijampa maujanja.
 
nenda settingz afu manual searching andika 530 then search!rudia tena with same procedurez then now apply 570 search then you are done
 
nenda settingz afu manual searching andika 530 then search!rudia tena with same procedurez then now apply 570 search then you are done

Kudadadadadeeeek, wewe ni nouma! Nimepata channel 10 za ziada (nalipia kifurushi cha sh. 20,000), channel nilizopata ni ATN,SETANTA AFRICA,TBN, CNN,TBN,MUVI TV AFRICA,K24,EMMANUEL,COLOURS.
 
lately channel zote zimevapour, kunanini tena???????????????????

  • :disapointed:
 
watakuwa wamestuka wachina .maana ata mimi nilikuwa nakula dubai one hd fresh lakini sasahivi no service kudadeki

Sio kwamba wameshituka tatizo ni kuwa hivyo ving'amuzi vyenu vya t1 haviwezi shika tena chanel hizo ila c wenye vya dvb-t2 bado tunazipata kama kawaida.Hizo chanel ni za decoder ya ting,sasa wametoka kwenye mfumo huo wa decoda za t1 na kuhamia dvb-t2 hd,ndio maana hamzipati,pole sana kaka kwani ni chanel nzuri sana.
 
Sio kwamba wameshituka tatizo ni kuwa hivyo ving'amuzi vyenu vya t1 haviwezi shika tena chanel hizo ila c wenye vya dvb-t2 bado tunazipata kama kawaida.Hizo chanel ni za decoder ya ting,sasa wametoka kwenye mfumo huo wa decoda za t1 na kuhamia dvb-t2 hd,ndio maana hamzipati,pole sana kaka kwani ni chanel nzuri sana.

Provider gani wa t1 kabaki mkuu tufaidi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom