Habari, ninashida kwenye simu yangu ya tecno J8, kila nikitaka kureset factory inanipa meseji ya unfortnately, settings has stopped, hivyo basi zoezi zima linakwama.
Pia nkitaka kutumia whatsap na facebook messenger na instagram zinadai kuwa hakuna network connection, lakn mitandao mingine inafanya kazi kama kawaida, naombeni msaada wandugu.
Pia nkitaka kutumia whatsap na facebook messenger na instagram zinadai kuwa hakuna network connection, lakn mitandao mingine inafanya kazi kama kawaida, naombeni msaada wandugu.