Guys salama jamani,mie n mtumiaji mzuri sana wa internet,na huwaga nikijiungaga na vifurushi natumiaga sana net kuliko muda wa maongezi,je ni mtandao gan ambao naweza kutumia net bila kulipia
Guys salama jamani,mie n mtumiaji mzuri sana wa internet,na huwaga nikijiungaga na vifurushi natumiaga sana net kuliko muda wa maongezi,je ni mtandao gan ambao naweza kutumia net bila kulipia
Guys salama jamani,mie n mtumiaji mzuri sana wa internet,na huwaga nikijiungaga na vifurushi natumiaga sana net kuliko muda wa maongezi,je ni mtandao gan ambao naweza kutumia net bila kulipia
Guys salama jamani,mie n mtumiaji mzuri sana wa internet,na huwaga nikijiungaga na vifurushi natumiaga sana net kuliko muda wa maongezi,je ni mtandao gan ambao naweza kutumia net bila kulipia
kwa msaada wa bure... angalia promoshen za mitandao kama airtel ni bure internet kuanzia saa 6 usiku..
pia katika tigo ingekua poa ukajichanga sh mia tano tu ujiunge na megabox data utapata mb 200
kwa voda.. usiku kuna wajanja night, kama we ni m2 wa kudownload mafaili kama mimi bas hii utafaid maana kwa sh 500 tu utapatiwa GB 1 ila tu kuanzia saa 5 usiku
kwa mfano mimi nina laini za mitandao yote TZ, ikitokea promoshen hapo hapo naenda nao sawa