Duh! Ndio nimeona hii leo. Nimeongeza ujuzi. Fungua hiyo disk image ndani, je hakuna file linaitwa setup?sijadownload ila kuna mtu alinihamishia hilo folder
.
Je word, excel kwenye pc yako ipo? Je inafanya kazi?Angalia vizuri.Hayo maelekezo nimeyafata kiongozi.
Tafuta office 2013 64 bit. Nenda get into pc utaikuwa huko au nenda izofile.com unaweza ukakuta huko. Kisha install.Hapana hazijaingia
Hivi ms office kuanzia ya 2013 na kuendelea kuna ambayo ni free au hadi ununue licence ya mwaka?Tafuta office 2013 64 bit. Nenda get into pc utaikuwa huko au nenda izofile.com unaweza ukakuta huko. Kisha install.
PoaPoa brother.
Unadownload hiyo huko izofile wanaweka na kms activator ndani yake. Hivyo unaicrack tuHivi ms office kuanzia ya 2013 na kuendelea kuna ambayo ni free au hadi ununue licence ya mwaka?
Inabidi nipate somo la kucrak. Sina ufahamu wa haya masuala.Unadownload hiyo huko izofile wanaweka na kms activator ndani yake. Hivyo unaicrack tu
Weka bando ingia youtube.Inabidi nipate somo la kucrak. Sina ufahamu wa haya masuala.
Asante mkuu.Weka bando ingia youtube.
Kila la kheri.Asante mkuu.