Asante san kwa ushauri ndugu yangu. Nitawacheck pia Apollo. Kuhusu uwezo wa kipesa si mkubwa kama unavyoweza kudhani ni basi tu kuhangaika kutafuta kilicho bora.Apollo wale jamaa me nahisi hawashindwi kitu aiseee ila ndo ujipange galama sema mpk umefikilia huko utakua pesa unazo tuuuuu
Osheni lodi wameshindwa kwani.??
Hakuna dawa ya cancer, ni kuomba na palliative case being intense. Why not try western world hospitals kama ka uwezo kapo? Pole mpendwa.Asante san kwa ushauri ndugu yangu. Nitawacheck pia Apollo. Kuhusu uwezo wa kipesa si mkubwa kama unavyoweza kudhani ni basi tu kuhangaika kutafuta kilicho bora.