BumbleBeeBot
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 281
- 440
Habari, kama Kuna mtu anafahamu hospital nzuri Mbeya yenye wataalam wa magonjwa ya ngozi au kama unamfahamu dermatologist hapa Mbeya unisaidie kuniunganisha nae. Natanguliza shukrani
Nenda Rufaa..huko utakutana nao.Habari, kama Kuna mtu anafahamu hospital nzuri Mbeya yenye wataalam wa magonjwa ya ngozi au kama unamfahamu dermatologist hapa Mbeya unisaidie kuniunganisha nae. Natanguliza shukrani
ShukraniNenda Rufaa..huko utakutana nao.
K's pia maspecialist wanakuwepo kwa zamu, siyo siku zote.