G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau kuna modem ya ttcl nilinunua mwez uliopita hii modem tangu nanunua kabla ya kuanza kutumia lazma ufanye setting zake kwanza hii ni pamoja na kuandika namba ya cm kama user name pamoja na kuandika password zake ugumu ni kwamba kwa sasa kila nikijarib set hiz setting inareply kuwa incorrect password and username na pasword pamoja na namba ni zile zile nilikuwa natumia je nifanyaje niweze tumia hii modem?