Anatoaje bila neno la siri mkuu?!!kuna tapeli kajifanya ananunua gari yangu.nikampa jina kamili na namba ya akaunt halafu kapotea.akaunt ina pesa nyingi.kuna uwezekano akatoa pesa?wajuzi tusaidie la kufanya
Hawezi kutoa.kuna tapeli kajifanya ananunua gari yangu.nikampa jina kamili na namba ya akaunt halafu kapotea.akaunt ina pesa nyingi.kuna uwezekano akatoa pesa?wajuzi tusaidie la kufanya
Aisee lazima aende kuiba tena ana akaunti namba yako, andika maumivu. Ngoja nikupe namba yake ya simu 0658154533kuna tapeli kajifanya ananunua gari yangu.nikampa jina kamili na namba ya akaunt halafu kapotea.akaunt ina pesa nyingi.kuna uwezekano akatoa pesa?wajuzi tusaidie la kufanya
Naomba hata jero bhana🤕kuna tapeli kajifanya ananunua gari yangu.nikampa jina kamili na namba ya akaunt halafu kapotea.akaunt ina pesa nyingi.kuna uwezekano akatoa pesa?wajuzi tusaidie la kufanya