Msaada wa haraka wakuu

Msaada wa haraka wakuu

Joined
Oct 2, 2020
Posts
41
Reaction score
62
Habari wakuu,naombeni msaada wenu kwenye hili,niliwahi kuomba chuo mara tatu tofauti na zote nilifanikiwa kupata ila kwa sababu za kiuchumi na kiafya sikufanikiwa kusoma kwa kipindi hiko.

Mwaka huu nimejaribu kuomba chuo kingine kabisa kwa kozi nyingine ila katika round ya pili na round ya tatu zote nimekosa ,ukizingatia kuwa kuna watu wameomba na wamepata huku ufaulu wao ukiwa ni wa kawaida ukijaribu kufananisha na wangu.

Msaada tafadhali,ni wapi ninakosea?
NATANGULIZA SHUKRANI ZA DHATI.
 
Kwenye selection waangalia kwanza waliomaliza hivi karibuni ikitokea kuna mahali mmefungana kimatokeo.

Pili wanafunzi wanaomaliza form six kila mwaka wanaongezeka na compition vyuoni inakuwa kubwa.

Ushauri wangu tafuta vyuo ambavyo havina compition kama St John, TIA, IIA n.k jaribu kuomba halafu ukikosa rudi huku kwa mazungumzo zaidi.
 
Kwenye selection waangalia kwanza waliomaliza hivi karibuni ikitokea kuna mahali mmefungana kimatokeo.

Pili wanafunzi wanaomaliza form six kila mwaka wanaongezeka na compition vyuoni inakuwa kubwa.

Ushauri wangu tafuta vyuo ambavyo havina compition kama St John, TIA, IIA n.k jaribu kuomba halafu ukikosa rudi huku kwa mazungumzo zaidi.
Asante kaka
 
Back
Top Bottom