Msaada wa haraka wa chuo na course

Msaada wa haraka wa chuo na course

Endeleeni kufunguka nafuatilia sana huu uzi na mimi ni mhanga wa hili
Nina binti ana four ya 26
Biology C
English C
Kiswahili C
Geography D
Civics D
Mtusaidie jamani hawa watoto tunawapeleka wapi?
 
Endeleeni kufunguka nafuatilia sana huu uzi na mimi ni mhanga wa hili
Nina binti ana four ya 26
Biology C
English C
Kiswahili C
Geography D
Civics D
Mtusaidie jamani hawa watoto tunawapeleka wapi?

Tupeane mrejesho maana naona tupo kwenye kapu moja.Walau wa kwako ana C ya Biology ambayo inaweza kumsaidia kwenye Kozi za Afya kama Community Health Officer.
 
Endeleeni kufunguka nafuatilia sana huu uzi na mimi ni mhanga wa hili
Nina binti ana four ya 26
Biology C
English C
Kiswahili C
Geography D
Civics D
Mtusaidie jamani hawa watoto tunawapeleka wapi?
Tembeleeni website za vyuo vitawasaidia Sana tena kwa huo ufaulu ni mzuri sana...!!
 
Nimekuelewa vizuri.Naomba unifahamishe hiyo CHINESE LANGUAGE na ELECTRICAL FENCE AND CCTV SYSTEM inafundishwa wapi?
MAFUNZO YA CCTV SYSTEM, ELECTRICAL FENCE PLUS ALARM SYSTEM HUWA YANATOLEWAGA HAPA NCHINI NA KAMPUNI YA NEMTEK TOKA SOUTH AFRICA AMBAO NDIO WATENGENEZAJI WA VIFAA NA TECHNOLOGIA YA NEMTEK KUANZIA FENCE, ALARM, CCTV, BIOMETRIC.

MAFUNZO YAO HUTOLEWA KUPITIA KAMPUNI G.S POWER, KK SECURITY, , SUMA JKT,

WEWE UNACHOTAKIWA NI KUFIKA OFISI ZA HIZO KAMPUNI UKIFIKA WAO WATAKUPA RATIBA HAO WAZUNGU WA NEMTEK
WANAKUJA LINI KUTOA MAFUNZO UKISHAJUA WAO WATAKWAMBIA NI LINI WATAANZA MAFUNZOO.

KWA SABABU HAYO MAFUNZO HUKU BONGO HAKUNA CHUO KINACHOFUNDISHA HIVYO WAO.

NA MAFUNZO YAO HUPENDELEA KUTOA NDANI YA CHUO CHA D.I.T KUNA DARASA HUCHUKUAGA PALE KUFUNDISHA

NA WAO HUFUNDISHA KAMA SHORT COURSE YA MIEZI MITATU AU MINNE INATEGEMEA KAMA .
 
Endeleeni kufunguka nafuatilia sana huu uzi na mimi ni mhanga wa hili
Nina binti ana four ya 26
Biology C
English C
Kiswahili C
Geography D
Civics D
Mtusaidie jamani hawa watoto tunawapeleka wapi?
Mpeleke advance akajipange upya, ana C tatu shule ya private anaenda
 
Ukiomba msaada epuka kutumia neno haraka ilhali wewe ndiye mwenye shida. Hii ni kumlazimisha mtu akupe kwa muda unaohitaji ww
 
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa anisaidie kunifahamisha chuo kizuri kilichopo DSM au Nje ya DSM ambapo naweza kumpeleka mwanangu akasome Kozi itakayomsaidia.Kamaliza Kidato cha Nne 2016 na Kupata Division Four Points.27 kama ifuatavyo:

KISWAHILI C

ENGLISH C

GEOGRAPHY D

HISTORY D

BIOLOGY D

CIVICS D

B/MATHS F

B/KEEPING F

COMMERCE F


Naombeni msaada wenu maana nasikia vyuo vinaanza kutoa Application Forms hivi karibuni.

Atafute Skill-based courses, viz., Registered / accredited Institutions - NACTE
Vocational Education and Training Authority Registered Centers au some professional certification.


Mlenge
 
Endeleeni kufunguka nafuatilia sana huu uzi na mimi ni mhanga wa hili
Nina binti ana four ya 26
Biology C
English C
Kiswahili C
Geography D
Civics D
Mtusaidie jamani hawa watoto tunawapeleka wapi?
Shule za private anaenda maana ili kufanya mtihani wa kidato cha sita uwe na at least na c tatu za kidato cha nne
 
Akasome Sheria tena anaweza kuanzia CERTIFICATE mpaka Degree.
 
Back
Top Bottom