Msaada wa haraka unahitajika!

Oracles

Member
Joined
Jul 4, 2010
Posts
12
Reaction score
0
Wadau JF!

Naomba sehemu ya sheria za nchi+TRA zinawahusu(zinazofafanua utaratibu mzima) wale(hasa wanafunzi) wanaopaswa kupatiwa msamaha wa kodi, pindi wanapoingiza vitu vyao nchini.

Natanguliza shukrani.

Octoba, 31 tujitokeze kwa wingi pia, kufanya kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…