Sinanjema
JF-Expert Member
- Dec 11, 2017
- 286
- 522
Habari zenu ndugu zangu,
Naomba kuuliza kwa wale waliofanikiwa kupata kazi wizara ya ardhi na kutakiwa kuripoti tarehe 4 kazini.
Kama tunavyojua tarehe hiyo itakuwa ni sikukuu, je Kuna mabadiliko yoyote ya tarehe ya kuripoti au twende tu tarehe hiyo hiyo? Natanguliza shukrani.
Naomba kuuliza kwa wale waliofanikiwa kupata kazi wizara ya ardhi na kutakiwa kuripoti tarehe 4 kazini.
Kama tunavyojua tarehe hiyo itakuwa ni sikukuu, je Kuna mabadiliko yoyote ya tarehe ya kuripoti au twende tu tarehe hiyo hiyo? Natanguliza shukrani.
